BREAKING NEWS:MCHANA HUU BASI LA ZUBERI NA COSTA USO KWA USO AMBAPO KATIKA COSTA HAKUNA ALIYEPONA
          
Bus
                  la Zuberi No. 3 Limegongana uso kwa uso na costa. 
Hakuna                  aliyetoka kwenye costa na imekwisha 
 nyang'anyang'a.                  Hali hii imepelekea waliokua kwenye 
magari mengine                  kushuka na  kuokoa majeruhi. Ni Mbele 
kidogo ya singida                  mjini.
                                
            
            
                   Yaani costa imeisha na imeanguka miguu juu. Bado kuna
                  abiria wapo chini ya hiyo costa. Ni ajari mbaya sana  
                aisee. 
 
         
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment