TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, January 2, 2015

YANGA VETERANI YAIFUNGA SIMBA VETERANI UWANJA WA BANDARI TEMEKE

unnamed
unnamed7Simba wakipewa kombe lao  Mchezaji wa Simba akijiunga na PSPF
unnamed9
Mchezaji wa Simba akijiunga na PSPF
………………………………………………………………………….
TIMU ya Yanga veterani imeibuka mshindi wa mchezo wa kirafiki dhidi ya Simba veterani ulioandaliwa na PSPF, Yanga iliibuka na ushindi wa bao 4-3 na kubeba kombe. Mchezo huo ulifanyika tarehe 1 Januari 2015 katika uwanja wa chuo cha Bandari, Tandika jijini Dar es Salaam. Hadi dakika tisini zinakamilika timu hizo zilitoka sare ya bao moja kwa moja, mabao hayo yaifungwa na Omari kapilima kwa upande wa Yanga na Barnabas Sekolo kwa upande wa Simba. Bingwa wa mchezo huo alipatikana kwa njia ya matuta, ambapo kwa upande wa Yanga walipata penalty ni Empram makoye, Ngada Shaganga, Ismail Issa na Deo Lucas. Yanga ilikuwa ikifundishwa na Peter Tino Kasongo Athumani kwa Kwa upande wa simu waliozamisha penati ni Athumani Chama, madaraka Selemani na Issa Manofu. Simba ilikuwa chini ya Kasongo Athumani. Lengo la mchezo lilikuwa kutoa burudani kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na maeneo ya karibu hususani katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka. PSPF itatumia fursa hiyo kutangaza huduma zake mpya ambazo Mkopo wa Elimu na Mkopo wa Kuanza Maisha.

No comments:

Post a Comment