TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, January 2, 2015

SHUGULI MBALIMBALI ZA WAZIRI MKUU PINDA NA MKEWE TUNU WILAYANI MLELE

unnamedWanakwaya wa kwaya ya Makuhani ya Kanisala la EAGT Makanyagio, Mpanda  wakiimba katika uzinduzi wa Album yao ya Tuiombee Afrika uliofanywa na mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu  Pinda kwenye ukumbi wa  Shule ya Saint Mary’s ya Mpanda Desemba 31, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed4
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda  akiwa katika picha ya pamoja na  wanakwaya wa kwaya ya Makuhani  ya Makanyagio, Mpanda wakati alipozindua Album yao  ya Tuiombee Afrika kwenye  ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Saint Mary’s Desemba 31, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
   unnamed3
Mke wa Waziri Mkuu, Mama  Tunu Pinda  akionyesha DVD ya  Tuiombee Afrika  ya kwaya ya Makuhani ya Kanisa la EAGT la Makanyagio, Mpanda wakati alipozindua Album hiyo kwenye ukumbi wa Saint Mary’s mjini Mpanda Desemba 31, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
unnamed5
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika  picha ya pamoja na wanafunzi  wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembeklea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment