TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 31, 2014

waziri wa uchukuzi akutana na wafanyabishara wanaotumia bandari ya dar es salaam Jana.

unnamed1Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe, akisisitiza jambo alipokutana na wafanyabishara wanaotumia bandari ya Dar es Salaam (hawapo pichani), katika ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),janaunnamedMeneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Award Massawe, akisistiza jambo, wakati Waziri wa Uchukuzi, alipokutana na Wafanyabishara wanaotumia bandari ya Dar es Salaam jana asubuhi katika ofisi za Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam..
unnamed2 
Makamu wa Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFFA), Edward John Urio, akisisitiza jambo wakati wa Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe, alipokutana na wafanyabishara wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam, katika ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania(TPA), jana asubuhi. (Picha na Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

No comments:

Post a Comment