TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 31, 2014

HUYU NDIYE RAIS WA TANZANIA 2015.

Mpalule ShaabanUrais Sio Cheo, Urais ni Utumwa, Urais ni Msalaba Mzito, Rais anatakiwa kuwa Mtumishi wa Watu kwa sababu anabeba Masalaba wa Watu Wote, Rais ni Baba wa Watu Wote, anayetakiwa kuwajali Watoto Wake Wote, asiyekubali Kula Wakati Kuna Watu Miongoni mwa Watoto Wake Wakilala na Kushinda Kwa NJAA, IKULU NI MZIGO MZITO, watanzania Tayari Wenyewe Wameona na Kuyashuhudia Maneno ya BABA wa TAIFA, na kila Uzito na Ujazo Wake, Kipimo cha Uzito wa IKULU, ni Tofauti na Kipimo cha uzito wa nafasi Yoyote Kwa Uzani, Kimawazo, Kiutendaji, na Uwajibikaji wa KILA mmoja Umeonekana, Watanzania Siyo Karungu Yeye Kwamba Wao Vichwa kisha Watanzania ni Magamba wanaingia na Kutoka, Nikichungulia tu niko nje na nikichungulia tu niko ndani, KIRAIS RAISI, IKULU siyo mahala pa Kukimbilia ila SERA ndo zinampeleka mtu IKULU, Wananchi wakishamkkubali, kwa SERA zake, katika yale anayowambia wananchi kisha akayatakeleza na wananchi Watampa URAIS, URAIS aununuliwi kama Karanga, Kwamba izi ni njugu Tutauziana kwa Mafungu, URAIS wowote unaonunuliwa siku zote ikumbukwe ipo Siku Utakuja KUUZWA, Tunapomchagua mtu kuwa Rais ni kwamba tunamwambia awe mtawala wetu, awe juu yetu kwa Mamlaka ya kila jambo, mwenye maamuzi ya Mwisho, mwenye kutenda juu ya HAKI na SHERIA, kwa Faida ya Wananchi anatakiwa kutenda na si VINGINEVYO. IKULU SIYO PANGO LA WAFANYABIASHA, IKULU SIYO SEHEMU YA KWENDA KUPUMZIKA, IKULU SIYO SEHEMU YA MISIKITI, IKULU SIYO SEHEMU YA MAKANISA, IKULU SIYO SEHEMU YA MIGAO NA MIGAHAWA, IKULU SIYO SEHEMU YA WAHUNI, NA IKULU SIYO SEHEMU YA MATAMBIKO, IKULU NI MAHAPA PATAKATIFU. PA PATAKATIFU. RAIS ANATAKIWA KUWA MTAKATIFU ZAIDI YA SALA NA IBADA, Mpenda AMANI, mtetezi wa haki, Mpigania Maendeleo ya Watu Wake, Jemedari, Kamanda, Mwenye Nguvu Kimwili, Kiroho na Kimawazo, asiyeyumbishwa na jambo, Mwenye kutoa Maamuzi Sahihi, Rais atakiwi kuwa na Makundi, Rais atakiwi kuwa Mbaguzi, Rais atakiwi kuwa mwenye Uroho na Madaraka, Rais atakiwi kuwa mchochezi, Rais atakiwi kuwa Mwenye Tamaa na Uroho wa kujilimbikizia Mali, Rais atakiwi kuwa Mwenye Hasira na Mwenye Maamuzi ya Haraka, Rais atakiwi kusema Uwongo, na Rais atakiwi KUPANGIWA, Rais atakiwi kuwa na Ukabila,Rais atakiwi kuwa na Udini, Rais atakiwi kuwa Muhuni, Rais atakiwi kuwa Mlevi, Rais atakiwi kutoa RUSHWA, Rais atakiwi kupokea RUSHWA, Rais atakiwi Kulala Usiku na Mchana, atakiwi kujulikana Muda wa Kulala na Mtu yeyote Isipokuwa kwa MKE/MUME wake, Rais atakiwi kuwa mtu wa kusafiri safiri, atakiwi kuruhu au kushiriki Uovu, Rais atakiwi kuzoeleka, Rais atakiwi kuipenda Nafsi yake kuliko ya watu wake, NA URAIS hauna UMRI: 2015

No comments:

Post a Comment