TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, December 2, 2014

DR SHEIN AKUTANA NA MABALOZI MICHEWENI ZANZIBAR LEO

unnamedRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Mzee Mberwa Hamadi Mberwa   mara alipowasili  leo katika Viwanja vya Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu  Wilaya ya Micheweni leo kwa madhumuni ya  kuzungumza na   Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani katika mkutano  wa kuimarisha  Chama  cha Mapinduzi (CCM) .[Picha na Ikulu.] unnamed1Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi alipofioka katika Viwanja vya  Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu  Wilaya ya Micheweni  leo kuzungumza na   Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani katika mkutano  wa kuimarisha  Chama  cha Mapinduzi (CCM) .[Picha na Ikulu.]
unnamed2Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akifuatana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi baada ya mapokezi alipofika  katika Viwanja vya  Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu  Wilaya ya Micheweni kwa ajili ya kuzungumza na   Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani katika mkutano  wa kuimarisha  Chama  cha Mapinduzi (CCM)  leo .[Picha na Ikulu.] unnamed4Baadhi  ya WanaCCM  wa Wilaya ya  Micheweni  Pemba wakimsikiliza    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein  alipokuwa  akizungumza na Mabalozi na Wenyeviti wa   Maskani  wa  Wilaya hiyo  leo katika ukumbi wa  Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu  Micheweni  akiwa  katika ziara ya kuimarisha  Chama  cha Mapinduzi (CCM) .[Picha na Ikulu.] unnamed6Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) Dkt.Mauwa Daftari (kulia)  na Khadija Hassan Aboud wakifuatilia kwa Makini taratibu za Mkutano wa na Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani Wilaya ya Wete uliohutubiwa na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar leo katika ukumbi  wa Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu  akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Pemba.[Picha na Ikulu.]
unnamed7Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar alipokuwa akizungumza na  Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani katika Mkutano wa Kuimarisha Chama cha Mapinduzi CCM katika   Ukumbi wa Skuli ya Kiislamu ya   Kiuyu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama.[Picha na Ikulu.] unnamed8Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Mzee Mberwa Hamadi Mberwa   alipokuwa akimkaribisha  Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai kuzungumza na machache katika Mkutano wa Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani   ili nae akmaribisha  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar kuhutubia Mkutano huo katika ukumbi wa Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu  akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi  Mkoa wa Kaskazini Pemba leo .[Picha na Ikulu.] unnamed65Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiteta jambo na  Naibu  Katibu Mkuu wa  CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai  wakati wa Mkutano wa Mabalozi na Wenyeviti wa Maskani katika Wilaya ya Micheweni  katika ukumbi wa Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu  akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi  Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment