TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 3, 2014

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AFUNGUA MAONESHO YA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA YANAYOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA OFISI ZA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA BANANA LEO ASUBUHI

unnamed1Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Anga Tanzania (TCAA) Bw. Charles Chacha akiongea na waandishi wa habari kuhusu hali ya usalama wa anga Tanzania na namna Tanzania ilivyofanikiwa kupunguza idadi ya ajali za ndege.
unnamed6Meneja wa Huduma za Hali ya Hewa kwa Usafiri wa Anga kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Bw. John Mayunga akifafanua utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka ya Hali ya Hewa katika usafiri wa anga.unnamed2Afisa mwongoza ndege wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere  Bi. Mossy Kitangita akiwahamasisha baadhi ya vijana na wanafunzi waliotembelea banda la maonesho la kitengo cha kuongozea ndege (hawapo pichani) kusoma masomo ya Sayansi ili waweze kupata fursa ya kujiunga na fani ya uongozaji wa ndege ndani na nje ya nchi.CCCCC 5Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka, akimsikiliza Ofisa Utawala, kutoka Baraza la Ushauri la Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA-CC), Ms Catherine Monarya, wakati alipotembelea banda hilo kujua shughuli mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo, Katibu Mkuu ameishauri taasisi hiyo kutoa elimu zaidi
CCCCCCCC 4
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka, akimsikiliza Kaimu Meneja wa Huduma za Hali ya Hewa katika Usafiri wa Anga na Maji kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya sekta ya Usafiri wa Anga, ambayo yanafanyika katika viwanja vya Ofisi za Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), leo asubuhi.CCCCCCCCCCCC 1
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Shaaban Mwinjaka(mwenye tai nyekundu), akimsikiliza Muongozaji Ndege katika kiwanja cha Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), Bi. Mossy Kitang’ita, wakati alipotembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), leo asubuhi katika viwanja vya Ofisi za Mamlaka hiyo.

No comments:

Post a Comment