Mbunge
 wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Kulia akimsikiliza Aliyekuwa 
Mwenyekiti Baraza la Vijana la Chama cha wananchi CUF Wilaya ya Morogoro
 Ndugu Mariam Iswili aliyeamua Kurudisha Kadi ya Cuf na Kujiunga na 
Chama cha Mainduzi.Katika Tukio Hilo jumla ya wanacha 167 Kutoka Vyama 
vya CUF CHADEMA na NCCR MAGEUZI Walirudisha kadi zao na kusema vyama 
hivyo havina sera Mya zaidi ya Majungu na Maneno Mengi yasiyo na Tija 
kwa wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Kiwa na Kadi ya Cuf aliyoiokea.
Mbunge
 wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akionyesha kazi alizokabidhiwa
 kuto kwa wanachama waliohama kutoka vyama vya CHADEMA  na CUF na 
Kuhamia CCM
Mbunge
 wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Za vyama vya chadema CUF na 
Nccr Mageuzi alizookea Kutoka kwa wanachama wa Vyama Hivyo na Kuamua 
Kujiunga na chama cha Mapinduzi .
Waliokuwa wanachama wa Ukawa wakila kiao mara baada ya Kukabidhiwa kadi za CCM
No comments:
Post a Comment