TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, December 4, 2014

fastjet kwenye maadimisho ya miaka 70 ya kimataifa ya safari za anga duniani

unnamed1OFisa Habari na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro, (kulia), akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr.Shaaban Mwinjaka katika maadhimisho ya miaka 70 ya Kimataifa ya safari za Anga Duniani yaliyoanza jana mpaka Desemba 5 mwaka huu katika Viwanja vya Makao Makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA) Dar es Salaam, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya TCCA, na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Charles Chacha. unnamed2Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dr. Shaaban Mwinjaka (wapili kulia), akizungumza na Ofisa Habari na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro katika maadhimisho ya miaka 70 ya Usafiri wa Anga yaliaonza jana ambapo yatamalizika Desemba 5 mwaka huu katika Makao Makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA) Dar es Salaam, kutoka kutosho ni  Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya TCCA, na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Charles Chacha. unnamed3
  unnamed6
 OFisa Habari na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro akielezea baadhi ya mambo yaliopo katika vipeperushi vya kampuni hiyo ya ndege vikielezea huduma muhimu za usafiri kwa kampuni ya Fastjet.

No comments:

Post a Comment