TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, December 2, 2014

SHIRIKA LA USAFIRI DAR ES SALAAM (UDA) TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MADEREVA

index
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) linawatangazia Watanzania wote hususan wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwamba linahitaji kuajiri madereva  kwa ajili ya kuendesha mabasi yake hapa jijini.
SIFA ZA WAOMBAJI
Waombaji wa kazi ya udereva wanatakiwa kuwa na umri wa kuanzia miaka 30-55, ujuzi wa udereva wa mabasi kutoka katika vyuo vya VETA, NIT, au chuo kingine kinachotambulika na Mamlaka ya Elimu ya Ufundi nchini (NECTA). Pia wanapaswa kuwa na leseni ya udereva daraja C Kavu (Class C Plain) na daraja C1(Class C1) , rekodi nzuri ya utendaji na afya njema.
NAMNA YA KUOMBA
Waombaji wote walete barua zao za maombi wakiambatanisha na barua za udhamini, walete barua hizo kwa mkono katika Ofisi ya Afisa Rasilimali watu na Utawala, Makao Makuu ya UDA, KAMATA COMPLEX, mahali zilipokuwa ofisi za mabasi ya SCANDINAVIA.
Wanawake wanyesifa wanahimizwa zaidi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA 255222127421, 0766777754, 0766777753 ,0754776700, 0715776500,0712000037 au wasiliana kwa barua pepe info@uda.co.tz, uda@umojainvestments.com au kwa sanduku la posta
Shirika la Usafiri Dar Es Salaam (UDA)
S.L.P 872
Dar Es Salaam,Tanzania
LIMETOLEWA NA OFISI YA MAHUSIANO YA UMMA UDA
DESEMBA 01, 2014.

No comments:

Post a Comment