WaziriMkuu,
 MizengoPinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria 
Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar esSalaam. 
(Picha Zote: AtuzaNkurlu-SheriaNgowi Brand).
Mbunifu
 wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi akimuonesha Waziri Mkuu, Mizengo 
Pinda baadhi ya vitambaa vya kisasa vya suti ambavyo vitatuka 
Kumtengenezea Waziri Mkuu jana jijini Dar es Salaam.
Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia na kuchagua aina ya vitambaa vya suti 
amabvyo vitatumika kutengenza baadhi ya Suti Zake alipotembelewa na 
Mbunifu wa Kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi jana jijini Dar es 
Salaam.(Picha Zote: Atuza Nkurlu-Sheria Ngowi Brand).



No comments:
Post a Comment