TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, December 4, 2014

TAJIRI AZIKWA NA GARI LAKE AINA YA HUMMER NCHINI NIGERIA

Ama kweli Duniani kuna mambo, Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni, Huko nchini Nigeria Tajiri mmoja maarufu amezikwa akiwa ndani ya gari lake la kifahari aina ya Hummer, kama inavyoonekana pichani gari hilo likishushwa  kaburini kama inavyokuwa kawaida kushusha Jeneza kaburini muda unapowadia
Wananchi  wakishuhudia mazishi hayo nchini Nigeria  yakifanyika
.Mazishi ya  tajiri  mmoja  huku nchi Nigeria yakifanyika kwa  mwili wa tajiri huyo kuzikwa pamoja na gari lake aina ya Hummer,kula raha  kifo  chaja ama kweli  pesa makaratasi

No comments:

Post a Comment