Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu kushoto
akipata maelekezo mafupi toka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya OK
Plastic Bw.Fadl Ghaddar wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kiwandani
hapo jijini Dar es Salaam ili kujionea hali halisi ya kiwanda hicho
katika kutunza mazingira, katikati ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira
toka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Bi. Magdalena Mtenga.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu
(katikati) akipata maelezo toka kwa Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira
toka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Bi. Magdalena Mtenga wakati
alipofanya ziara ya kushtukiza katika kiwanda cha OK Plastic jijini Dar
es Salaam, kulia ni Meneja wa Kiwanda hicho Bw. Martin Msamba.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu
(katikati) akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Kitengo cha Uzingatiaji wa
Usimamizi wa Mazingira toka Baraza la Mazingira (NEMC) wakati alipofanya
ziara ya kushtukiza katika kiwanda cha OK Plastic Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Ummy Mwalimu akitoa
maelekezo kwa watendaji wa Baraza la Mazingira (NEMC) na uongozi wa
kiwanda cha OK Plasdtic juu ya hatua za haraka za kuchukua ili
kukabiliana na tatizo la uchafuzi wa mazingira jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Eliphace Marwa – Maelezo
No comments:
Post a Comment